1.Harry Kane. Thamani ya Kane inatajwa kukaribia thamani ya Neymar kwa sasa na Tot wanataka zaidi ya £170m kama unamtaka Kane, tayari Florentino Perez amekanusha kumhitaji Kane lakini ni wazi kwa umri wa Benzema na Cr7 lazima Perez atahitaji mtu hatari kuziba mapengo yao na ni Kane.
like facebook page yetu hapa kwa habari za uhakika 
For Booking>>>
EMAIL: edusportstz@gmail.com
CALL>>>
Voda: +255757441463
JIUNGE NAMI KUPITIA LINK HIZI
Post a Comment