Tarehe 18 September mwaka 1999 ndio ilikuwa mara ya mwisho wa Watford kuwafunga
United wanaingia katika mchezo huu wakiwa na rekodi nzuri sana msimu huu ambapo wakishinda wataweka rekodi ya kupata alama 23 ndani ya michezo 9 ya mwanzo ya ligi kuu huku wapinzani wao hawajashinda katika mechi 6 zilizopita.
Manchester City wakishinda katika mchezo wa leo wataweka rekodi mpya ndani ya klabu hiyo, rekodi ya kushinda michezo 11 mfululizo katika mashindano yote na watakuwa wameshinda michezo 7 mfululizo katika ligi kuu.
For Booking>>>
EMAIL: edusportstz@gmail.com
CALL>>>
Voda: +255757441463
JIUNGE NAMI KUPITIA LINK HIZI
Post a Comment