MSUVA AITESA BOTSWANA;AONESHA UBABE WAKE WA UKIMATAIFA - EDUSPORTSTZ

Latest

MSUVA AITESA BOTSWANA;AONESHA UBABE WAKE WA UKIMATAIFA




Taifa Stars imeshinda kwa mabao 2-0 katika mechi yake ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Botswana.

Katika mechi hiyo kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam, Simon Msuva ndiye aliyefunga mabao yote mawili.


Msuva aliyepata umaarufu akiwa Yanga, sasa anakipuga Difaa Al Jadid ya Morocco na alichelewa kujiunga na wenzake.


Lakini leo alionyesha kuwa uhai wa timu katika ushambulizi huku akipiga mabao hayo mawili safi kabisa.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz