GADIEL HAKAMATIKI, AZAM FC YATOA BARAKA - EDUSPORTSTZ

Latest

GADIEL HAKAMATIKI, AZAM FC YATOA BARAKA



Azam FC imekubali kumuachia Gadiel Michael na sasa atacheza Yanga.

Beki huyo alilalamika kuwa Azam FC ilikuwa inambania, lakini leo Ofisa Habari wa Yanga, Jaffar Idd amethibitisha hilo.

“Yanga wamelipa nusu na sisi tumekubaliana nao kwamba tumuachie acheze, mambo mengine yatafuatia,” alisema.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz