Michezo, Matokeo, ajira, Livescore,msimamo wa ligi
RWANDA NA TAIFA STARS ZATUNISHANA MISURI
bymafekeche-
0
Dakika 90 za mchezo kati ya Tanzania dhidi ya Rwanda zimemalizika kwa timu zote mbili kutoshana nguvu kwa sare ya goli 1-1 ambapo goli la Rwanda limepachikwa kimiani na Dominique Savio Shuti na Tanzania kusawazisha kwa mkwaju wa penati
Post a Comment