MWANASOKA BORA WA LIGI KUU BARA 2016-17





Mohammed Hussein Zimbwe amechaguliwa kuwa mchezaji bora msimu wa 2016-17 wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Zimbwe amebeba tuzo hiyo baada ya kuwashinda Aishi Manula, kipa wa Azam FC na kiungo mwenye kasi wa Yanga, Simon Msuva.


0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post