Mohammed Hussein Zimbwe amechaguliwa kuwa mchezaji bora msimu wa 2016-17 wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Zimbwe amebeba tuzo hiyo baada ya kuwashinda Aishi Manula, kipa wa Azam FC na kiungo mwenye kasi wa Yanga, Simon Msuva. Download our APP from Google Playstore using the link here>>>Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE Read more
No comments:
Post a Comment