Nilizoea Kusalitiwa na Marafiki, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Nivute Marafiki Waaminifu Maishani Mwangu

 

Kila mtu anapenda kuwa na marafiki wa kweli, lakini mimi maisha yangu yaligeuka ndoto mbaya. Kila mara nilipokuwa na rafiki, nilishia kusalitiwa. Nilishuhudia siri zangu zikisambazwa mitaani, pesa zangu kuibiwa na hata wengine kuniharibia jina kwa uongo. Nilijikuta nikiwa mpweke, na hata nilipokutana na marafiki wapya, moyoni nilikuwa na hofu wataishia kuniumiza.

Kila usiku nililala nikiwa na mawazo mazito. Nilijiuliza kwa nini kila wakati nilivutia watu wabaya pekee. Nilihisi labda nililaaniwa, kwa sababu hakuwa rafiki hata mmoja wa kweli aliyeweza kudumu. Nilihisi upweke uliokithiri. Nilipojaribu kuzungumza na familia yangu walinishauri nikubali hali ilivyo, lakini moyo wangu ulijua lazima kuwe na suluhisho.

Siku moja niliona posti ya mtu aliyekuwa ameandika kuhusu jinsi alivyoondoa watu wabaya katika maisha yake na kuanza kupata marafiki wazuri. Soma zaidi hapa 

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post