Shabiki Simba: Azam Kimataifa anaenda kufanya nini, Roho mbaya tu - EDUSPORTSTZ

Latest

Shabiki Simba: Azam Kimataifa anaenda kufanya nini, Roho mbaya tu

Kay Mziwanda

Ni kesho ligi inatamatika huku ni Yanga vs Tz prison kule ni Simba vs Jkt tanzania usikose kuzitazama mechi hizi zote live buree kwenye simu yako bonyeza hapa kudownload app itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live buree kabisa bofya sasa kuidownload mapema ili kuepuka usumbufu pia kwenye app hii kuna yale mambo yetu yale

Wakati Vita ya nafasi ya pili kati ya Simba na Azam ikizidi kuacha maswali mengi yasiyo na majibu.

Shabiki wa Simba Kay Mziwanda anaona kuwa Simba wanastahili kuipata nafasi hiyo kwa kuwa Kimataifa wana rekodi nzuri kuliko Azam FC.

Msikilize Kay akizungumza kwenye Video hapa chini;




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz