Rapper Future Ataka Kujiweka Kwa Mke wa Will Smith - EDUSPORTSTZ

Latest

Rapper Future Ataka Kujiweka Kwa Mke wa Will Smith


Wakiwa bado kwenye mzozo wa kimapenzi /Entanglement, #WillSmith na mke wake #JadaPinkett wamerudi kwenye headlines tena, wakati huu, ni kupitia insta story na tweet ya rapper #Future.

Hii ni kufuatia Jana shabiki mmoja kumuuliza Future ikiwa angependa kuwa na urafiki na Will Smith, ambapo rapper huyo bila kuchelewa kupitia insta story yake na twitter alijibu kuwa "afadhali kuwa rafiki wa Jada." (mke wa illsmith) huku ako mtag Jada.

Kulingana na ripoti za mitandao ya kijamii, MTO iligundua kuwa baada ya jibu hio Jada ilianza kumfollow Future jana, ambapo Watu walianza kuunganisha doti kuwa huenda wwili hawa wakawa katika hali ya kuanzisha mahusiano, jambo lililofanya kuamua kum Unfollow rapper huyo asubuhi ya leo.
Utakumbuka hivi karibuni mwimbaji #augustalsina pia amewahi kukiri kuwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzibna mwanadada huyo ambae ni mama wa watoto wa 2 Jaden & Willow Simth.

✍🏾@keviiiy.iam






Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz