Kante Atambulishwa msimbazi

Kante Atambulishwa msimbazi

Download App ya Nijuze Tv kutazama mechi za ligi kuu Nbc bure, Epl, Laliga, Bundesliga, Seria A, Caf na nyinginezo pia app hii ina chanel za Azam tv na Dstv utaweza kuzitazama bure

Idownload kwa kubonyeza HAPA au HAPA sisi kwetu michezo ni Furaha


 Simba imetambulisha usajili wa kiungo raia wa Senegal Alassane Kante (24) kutoka klabu ya CA Bizertin ya Tunisia

Kante ametua Msimbazi katika nafasi ya Fabrice Ngoma ambaye alipewa 'Thank You' baada ya mkataba wake kumalizika

Kante ni kiungo wa kati ambaye pia anaweza kutumika kama kiungo mkabaji au mchezeshaji

Simba iliweka kipaumbele usajili wa kiungo huyo ambapo kocha Fadlu Davids alimuhitaji ili kuimarisha safu ya kiungo cha ukabaji

Usikose kuitazama mechi za michuano ya CHAN na LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA kudownload app

0 Comments

Post a Comment

Post a Comment (0)

Previous Post Next Post