Kante Atambulishwa msimbazi
Download App ya Nijuze Tv kutazama mechi za ligi kuu Nbc bure, Epl, Laliga, Bundesliga, Seria A, Caf na nyinginezo pia app hii ina chanel za Azam tv na Dstv utaweza kuzitazama bure
Idownload kwa kubonyeza HAPA au HAPA sisi kwetu michezo ni Furaha
Simba imetambulisha usajili wa kiungo raia wa Senegal Alassane Kante (24) kutoka klabu ya CA Bizertin ya Tunisia
Kante ametua Msimbazi katika nafasi ya Fabrice Ngoma ambaye alipewa 'Thank You' baada ya mkataba wake kumalizika
Kante ni kiungo wa kati ambaye pia anaweza kutumika kama kiungo mkabaji au mchezeshaji
Simba iliweka kipaumbele usajili wa kiungo huyo ambapo kocha Fadlu Davids alimuhitaji ili kuimarisha safu ya kiungo cha ukabaji
Usikose kuitazama mechi za michuano ya CHAN na LIGI KUU TANZANIA BARA, MECHI ZA ULAYA LIVE bure kupitia Simu yako download App yetu itakayokuwezesha kuzitazama mechi hizi live bure pia ndani ya App yetu utaweza kutazama chanel za Azam tv na Dstv bure bonyeza HAPA kudownload app

Post a Comment