Nataka kusema kama vile tu unavyopambana na magonjwa ndivyo unavyopaswa kupambana na umasikini kwa sababu umasikini ni ugonjwa tena mbaya sasa, umetesa na kuua wengi.
Bila fedha hata mke wako mwenyewe hawezi kukuheshimu, hivyo hivyo upande wa ndugu na jamii nzima, yote tisa kumi, swali la msingi linabaki kuwa utafanaya nini ili kuweza kuepuka umasikini....SOMA ZAIDI HAPA
Post a Comment