Viongozi wa maandamano ya umma ambayo yamedumu kwa siku 3 wametangaza kuwa Mfalme Mswati III ameikimbia nchi na sasa amejificha nchini Afrika Kusini. Waandamanaji wanataka mabadiliko ikiwemo kuruhusu siasa za vyama vingi, na wananchi kuchagua Waziri Mkuu
Viongozi wa maandamano ya umma ambayo yamedumu kwa siku 3 wametangaza kuwa Mfalme Mswati III ameikimbia nchi na sasa amejificha nchini Afrika Kusini. Waandamanaji wanataka mabadiliko ikiwemo kuruhusu siasa za vyama vingi, na wananchi kuchagua Waziri Mkuu
No comments:
Post a Comment