💞💖KUFANAYA MAP-ENZ SI KUPATA WATOTO PEKEE MWANAMKE JIFUNZE HAPA KUWA MBUNIFU WA TABIA💝 - EDUSPORTSTZ

Latest

💞💖KUFANAYA MAP-ENZ SI KUPATA WATOTO PEKEE MWANAMKE JIFUNZE HAPA KUWA MBUNIFU WA TABIA💝

JINSI YA KUMJUA MPENZI LAGHAI NA MUONGO

💞💝* *💕💝💕💝💕💝💝💝💝$ex kwa wanandoa haipo kwa ajili ya kutengeneza watoto tu. Kama mke, kila mara lazima uwe tofauti kwa mumeo💕💝💕💝💕💝*. Mshawishi mumeo, usiruhusu mumeo akuombe $ex, usiwe na ratiba ya $ex. Kuwa mbunifu, na wala usitabirike. Mpe ile anayostahili.. kama ukipoteza mvuto kwa mumeo, basi umepoteza thamani yako kama mwanamke. Kuwa sehemu ya mipango ya mume wako. Hakuna kitu mume wako atakipenda kama kumuomba $-ex, toa aibu....huyo ni mume wako..mmehalarishwa mbele za Mungu, penis yake ni mali yako pia... Inashangaza kuna baadhi ya wanawake hata hawajui penis za waume zao zikoje. Ichezee unavyotaka, usiku usilale na suruali au jinsi...acha ngozi yako laini img-use mumeo...kuna raha kubwa mwanaume anavyoguswa na ngozi yako laini...msisimuko wake ni wa kiwango cha PhD. ```Mwanaume anavyokuwa sati-sfied na $ex siku zote anakuwa stable kiakili na kimwili...anafurahia maisha na atatamani kurudi nyumbani kila mara...

🌹💋🌹💋🌹💋🌹💋``` *💋👄💋👄💋👄💋👄💋💋👄💋👄💋👄💋Msikariri kwamba $ex lazima iwe usiku tu, fanyeni hata mchana...kama uko nyumbani na mumeo yupo kazini...mwite hata muda wa lunch aje nyumbani...fanyeni tendo hata la nusu saa tu...huo ndio ubunifu na ndoa haitaboa.💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋* ```👄👄👄👄👄👄👄👄👄Mtii mumeo kwa moyo mmoja, kamwe usimweleze kwamba upo hapo kwa ajili ya watoto.. Kumbuka ulianza kumjua yeye kabla watoto hawajaja.

👄👄👄👄👄👄👄🍇👄``` *🌹💕🌹💕🌹💕🍍💕🌹💕🌹🌽🌹💕🌹🌽Mbembeleze mumeo, weka kichwa chake kwenye kifua chako. Muombee...mpe kis-s ya kibabe...mmmh-wwwwaaa....usijihisi vibaya kumkiss mbele ya public...yeye ni mumeo..mali yako halali kabisa hata malaika mbinguni wanajua💕🌹💕🌹💕🌹💕💕🌹🌹*. ```👄👄👄👄👄👄👄👄👄👄👄👄👄👄Kuwa roma-nt-ic uwapo nyumbani, vaa nguo laini za mitego....usivae mivitenge na magauni magumu.

...👄👄👄👄👄👄👄👄👄``` *💖🌹💖🌹💖🌹💖🌹🌹💖🌹🌹💖Kuwa msafi kila muda...Nukia kwa manukato yenye mvuto, usinukie mapilipili hoho na mavitunguu swaumu....kama vipi nunua $ex lingarie halafu vaa kila muda uwapo na mumeo peke yenu.

❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤* *💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝💝Usionekane kama una miaka 50 wakati hata 40 hujafikisha...fanya mazoezi, acha bia, nyama choma, chips mayai, mapizza, na mavyakula mengine yenye wanga mwingi.💕🌹💕🌹💕🌹💕🌹🌹💕🌹💕* *💕🌹💕🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹💕🌹🌹💕🌹Tunza vizuri mwili wako, mwanamke ni pambo ndani ya nyumba na fahari ya macho ya mume...sasa ukipoteza mvuto umefanya kosa kubwa sana. Fanya jitihada kupigania kuwa na mwili uliokuwa nao mwanzo.💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕*




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz