Gamondi: Simba waje kucheza mechi ili washinde sio kulipa kisasi - EDUSPORTSTZ

Latest

Gamondi: Simba waje kucheza mechi ili washinde sio kulipa kisasi

Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi

Mtoto hatumwi Dukani ni kesho dabi ya kariakoo Yanga vs Simba unaanzaje kukosa kuitazama mechi hii kupitia simu yako unajiuliza utaitazama wapi na vipi bonyeza hapa kudownload app itakayorusha mechi hii live bureee kabisa buree bonyeza sasa kuidownload mapema ili kuepuka usumbufu

Wakati joto la Dabi ya Kariakoo likizidi kupamba moto kuelekea mchezo huo utakaopigwa Kesho Aprili 20 Uwanja wa Mkapa.

Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amewatahadharisha wapinzani wao kuelekea mchezo huo mkubwa nchini.

Akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari Gamondi anasema;

"Wanapaswa kuja kucheza ili washinde mechi na sio kulipa kisasi, kama wanakuja kulipa kisasi litakuwa kosa kubwa sana, timu inapaswa kucheza ili ishinde pekee na sio kisasi”



Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz