MAN CITY YAITANDIKA LEEDS UNITED 4-0 ELLAND ROAD-Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

MAN CITY YAITANDIKA LEEDS UNITED 4-0 ELLAND ROAD-Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

MABINGWA watetezi, Manchester City wameibuka na ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Leeds United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Elland Road, Leeds, West Yorkshire.
Mabao ya Man City yamefungwa na Rodri dakika ya 13, Nathan Ake dakika ya 54, Gabriel Jesus dakika ya 78 na Fernandinho dakika ya 90 na ushei.
Kwa ushindi huo, Man City inafikisha pointi 83 na kuendelea kuongoza ligi kwa pointi moja zaidi ya Liverpool baada ya wote kucheza mechi 34. 




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz