LIVERPOOL YATWAA KOMBE LA FA BAADA YA MIAKA 16 -Michezoni leo - EDUSPORTSTZ

Latest

LIVERPOOL YATWAA KOMBE LA FA BAADA YA MIAKA 16 -Michezoni leo

Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB  

TIMU ya Liverpool imefanikiwa kutwaa Kombe la FA England baada ya miaka 16 kufuatia ushindi wa penalti 6-5 timu hizo zikitoka kumaliza dakika 120 bila kufungana Uwanja wa Wembley Jijini London.
Waliofunga penalti za Liverpool ni James Milner,  Thiago Alcântara, Roberto Firmino, Trent Alexander-Arnold, 
Diogo Jota na  Konstantinos Tsimikas, huku Sadio Mane pekee akikosa mkwaju wake  ukiokolewa na kipa Msenegal mwenzake, Édouard Mendy.
Upande wa Chelsea waliofunga ni Marcos Alonso, Reece James, Ross Barkley, Jorginho na Hakim Ziyech huku César Azpilicueta na Mason Mount wakikosa.




Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz