Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
BAO pekee la Kai Havertz dakika ya 89 limeipa Chelsea ushindi wa 1-0 dhidi ya Newcastle United katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London.
Chelsea inafikisha pointi 59 katika mchezo wa 28, ingawa inabaki na nafasi ya tatu, wakati Newcastle inabaki na pointi zake 31 za mechi 28 nafasi ya 14.
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily Updates
CLICK HERE
No comments:
Post a Comment