Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
WINGA wa Azam FC, Ayoub Lyanga leo amefanyiwa upasuaji katika hospitali ya Life Vincent Pelloti mjini Cape Town, Afrika Kusini.
Upasuaji huo uliochukua muda wa saa mbili, unafuatia Lyanga kuumia Novemba mbili mwaka huu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Geita Gold.
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily Updates
CLICK HERE
No comments:
Post a Comment