Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
TIMU ya Liverpool imetinga Robo Fainali ya Kombe la Ligi England baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Preston North End usiku huu Uwanja wa Deepdale mjini Preston.
Mabao ya Liverpool yamefungwa na Takumi Minamino dakika ya 62 akimalizia pasi ya Neco Williams na Divock Origi dakika ya 84.
Download our APP from Google Playstore using the link here>>>
Join Our Telegram Channel for Daily Updates
CLICK HERE
No comments:
Post a Comment