Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
KIKOSI cha timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Tanzanites kimeondoka Dar es Salaam leo asubuhi kwenda Eritrea kwa ajili ya mechi na wenyeji Jumamosi kufuzu Kombe la Dunia kuanzia Agosti 10 hadi 28 mwakani nchini Costa Rica, kabla ya kurejea Dar es Salaam kwa mechi ya marudiano itapigwa Oktoba 9.

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment