Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF limefuta mashindano ya fainali za Afcon kwa vijana chini ya umri wa miaka 17. Mashindano hayo yalitarajiwa kufanyika Morocco kuanzia Machi 13.
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania cha vijana chini ya miaka 17 kilishawasili Morocco ambapo mchezo wa kwanza ulipangwa kuchezwa Machi 14 dhidi ya Nigeria.
The post Caf Yafuta Mashindano ya Afcon Under 17 appeared first on Global Publishers.
Je wajua!!!???
Kiwangadoctors ni madaktari ambao wanasifika East Africa na Africa kwa ujumla,Kiwangadoctors wanatatua shida mbalimbali za maisha kama,kurudisha mpenzi,kupandishwa cheo,kupata kazi,kupata mimba kwa wale waliokosa,Nguvu za kiume na kushinda michezo ya Batinasibu pia kiwanga Doctors wanatibu mgonjwa sugu kama,Sukari ,Pressure pamoja na stroke.Wasiliana na kiwanga Doctors kwa number/WhatsApp +254769404965 Au kwa barua pepe kiwangadoctors@gmail.com. taarifa zaidi click 👉👉👇👇👇https://www.kiwangadoctors.com
kwa taarifa zaidi.
No comments:
Post a Comment