Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
Simba wanatarajiwa kuwa wageni AS Vita Jumamosi katika mchezo wa kwanza wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia Saa 4:00 usiku Uwanja wa Martyrs de la Pentecote

KIKOSI cha wachezaji 27 wa Simba SC kimeondoka Addisa Ababa, Ethioipia asubuhi ya leo kwenda Kinshasa, DRC – baada ya safari iliyonaza jana jioni Dar es Salaam na wanatarajiwa kuwasili leo jioni.