Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
BEKI wa kimataifa wa Zimbabwe, Peter Muduhwa amejiunga na Simba SC kutoka Highlanders FC ya kwao, Bulawayo kuimarisha kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kabla ya kuanza kwa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa.
Muduhwa ambaye alikuwa anachezea Highlanders F.C ya Zimbabwe amejiunga na kikosi chetu akitokea Cameroon kwenye kikosi cha Zimbabwe ambacho kinashiriki CHAN.

BEKI wa kimataifa wa Zimbabwe, Peter Muduhwa amejiunga na Simba SC kutoka Highlanders FC ya kwao, Bulawayo kuimarisha kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kabla ya kuanza kwa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa.
Muduhwa ambaye alikuwa anachezea Highlanders F.C ya Zimbabwe amejiunga na kikosi chetu akitokea Cameroon kwenye kikosi cha Zimbabwe ambacho kinashiriki CHAN.