Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
MSHAMBULIAJI Mtanzania, Mbwana Ally Samatta jana amefunga bao la pili dakika ya 51, timu yake Fenerbahce ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Kayserispor katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uturuki.
Mabao mengine yamefungwa na Mame Baba Thiam dakika ya 20 na Papiss Demba Cisse.

MSHAMBULIAJI Mtanzania, Mbwana Ally Samatta jana amefunga bao la pili dakika ya 51, timu yake Fenerbahce ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Kayserispor katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uturuki.
Mabao mengine yamefungwa na Mame Baba Thiam dakika ya 20 na Papiss Demba Cisse.