Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
MABAO ya Lucas Vazquez dakika ya sita na Marco Asensio dakika ya 53 jana yameipa Real Madrid ushindi wa 2-0 dhidi ya Celta Vigo katika mchezo wa LaLiga Uwanja wa Alfredo Di Stefano Jijini Madrid.
Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 36 baada ya kucheza mechi 17 na kupanda kileleni mwa La Liga ikiwazidi pointi moja tu wapinzani wao wa Jiji, Atletico Madrid ambao hata hivyo wamecheza mechi 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA

MABAO ya Lucas Vazquez dakika ya sita na Marco Asensio dakika ya 53 jana yameipa Real Madrid ushindi wa 2-0 dhidi ya Celta Vigo katika mchezo wa LaLiga Uwanja wa Alfredo Di Stefano Jijini Madrid.
Kwa ushindi huo, Real Madrid inafikisha pointi 36 baada ya kucheza mechi 17 na kupanda kileleni mwa La Liga ikiwazidi pointi moja tu wapinzani wao wa Jiji, Atletico Madrid ambao hata hivyo wamecheza mechi 14 PICHA ZAIDI GONGA HAPA