MUARGENTINA Lionel Messi jana amefunga mabao mawili dakika za 35 na 42 kuiwezesha Barcelona kushinda 4-0 dhidi ya wenyeji, Granada Uwanja wa Nuevo Los CΓ‘rmenes kwenye mchezowa La Liga, mabao mengine yakifungwa na Antoine Griezmann dakika ya 12 na 63.
Sasa Barcelona inazidiwa pointi tatu na mahasimu wao, Real Madrid (37-34) baada ya wote kucheza mechi 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Je wajua!!!???
Kiwangadoctors ni madaktari ambao wanasifika East Africa na Africa kwa ujumla,Kiwangadoctors wanatatua shida mbalimbali za maisha kama,kurudisha mpenzi,kupandishwa cheo,kupata kazi,kupata mimba kwa wale waliokosa,Nguvu za kiume na kushinda michezo ya Batinasibu pia kiwanga Doctors wanatibu mgonjwa sugu kama,Sukari ,Pressure pamoja na stroke.Wasiliana na kiwanga Doctors kwa number/WhatsApp +254769404965 Au kwa barua pepe kiwangadoctors@gmail.com. taarifa zaidi click πππππhttps://www.kiwangadoctors.com
kwa taarifa zaidi.
No comments:
Post a Comment