NYOTA Lionel Messi jana amefunga mabao mawili dakika za 38 na 63 kuiwezesha Barcelona kupata ushindi wa 3-2 dhidi ya Athletic Bilbao katika mchezo wa La Liga Uwanja wa San Mames Barria. Bao lingine la Barca lilifungwa na Pedri dakika ya 14, wakati mabao ya Athletic Bilbao yalifungwa na Inaki Williams dakika ya tatu na Iker Muniain dakika ya 90. Ushindi huo unaiosogeza nafasi ya tatu Barcelona ikifikisha pointi 31, sasa ikizidiwa pointi tano na mahasimu wao, Real Madrid baada ya timu zote kucheza mechi 17 na wote wapo nyuma ya Atletico Madrid inayoongoza kwa pointi zake 38 za mechi 15 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Je wajua!!!???
Kiwangadoctors ni madaktari ambao wanasifika East Africa na Africa kwa ujumla,Kiwangadoctors wanatatua shida mbalimbali za maisha kama,kurudisha mpenzi,kupandishwa cheo,kupata kazi,kupata mimba kwa wale waliokosa,Nguvu za kiume na kushinda michezo ya Batinasibu pia kiwanga Doctors wanatibu mgonjwa sugu kama,Sukari ,Pressure pamoja na stroke.Wasiliana na kiwanga Doctors kwa number/WhatsApp +254769404965 Au kwa barua pepe kiwangadoctors@gmail.com. taarifa zaidi click 👉👉👇👇👇https://www.kiwangadoctors.com
kwa taarifa zaidi.
No comments:
Post a Comment