TIMU ya Liverpool imefanikiwa kwenda Raundi ya Nne ya Kombe la FA England baada ya ushindi wa 4-1 dhidi ya Aston Villa usiku wa jana Uwanja wa Villa Park.
Mabao ya Liverpool yalifungwa na Sadio Mane dakika ya nne na ya 63, Georginio Wijnaldum dakika ya 60 na Mohamed Salah dakika ya 65, wakati la Aston Villa limefungwa na Louie Barry dakika ya 41 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Je wajua!!!???
Kiwangadoctors ni madaktari ambao wanasifika East Africa na Africa kwa ujumla,Kiwangadoctors wanatatua shida mbalimbali za maisha kama,kurudisha mpenzi,kupandishwa cheo,kupata kazi,kupata mimba kwa wale waliokosa,Nguvu za kiume na kushinda michezo ya Batinasibu pia kiwanga Doctors wanatibu mgonjwa sugu kama,Sukari ,Pressure pamoja na stroke.Wasiliana na kiwanga Doctors kwa number/WhatsApp +254769404965 Au kwa barua pepe kiwangadoctors@gmail.com. taarifa zaidi click 👉👉👇👇👇https://www.kiwangadoctors.com
kwa taarifa zaidi.
No comments:
Post a Comment