BAO pekee la Nahodha na beki mkongwe, Aggrey Morris kwa penalti dakika ya 62 limeipa Azam FC ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Malindi SC katika mchezo wa mwisho wa Kundi C Kombe la Mapinduzi usiku wa leo Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Kwa ushindi huo, Azam FC inamaliza kileleni mwa Kundi C na itamenyana na Yanga SC katika Nusu Fainali kesho hapo hapo Uwanja wa Amaan.
Nusu Fainali nyingine itakayofanyika kesho pia itazikutanisha Simba SC na Namungo FC, vita ya wa Kimataifa kutoka Tanzania Bara pia.
![]() |
Je wajua!!!???
Kiwangadoctors ni madaktari ambao wanasifika East Africa na Africa kwa ujumla,Kiwangadoctors wanatatua shida mbalimbali za maisha kama,kurudisha mpenzi,kupandishwa cheo,kupata kazi,kupata mimba kwa wale waliokosa,Nguvu za kiume na kushinda michezo ya Batinasibu pia kiwanga Doctors wanatibu mgonjwa sugu kama,Sukari ,Pressure pamoja na stroke.Wasiliana na kiwanga Doctors kwa number/WhatsApp +254769404965 Au kwa barua pepe kiwangadoctors@gmail.com. taarifa zaidi click 👉👉👇👇👇https://www.kiwangadoctors.com
kwa taarifa zaidi.
No comments:
Post a Comment