Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
TIMU ya Barcelona jana imechapwa 2-1 na wenyeji, Cadiz katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan. Mabao ya Cadiz yalifungwa na Alvaro Gimenez dakika ya nane na Alvaro Negredo dakika ya 63, wakati la Barcelona Alcala alijifunga dakika ya 57.
Kwa matokeo hayo, Cadiz wanafikisha pointi 18 baada ya kucheza mechi 12 na kupanda nafasi ya tano, wakizidiwa pointi mbili na Real Madrid na Villarreal zinazofuatana nafasi ya tatu na ya nne zikiwa zimecheza mechi 11.
Kikosi cha Ronald Koeman, Barcelona kinabaki na pointi zake 14 baada ya kucheza mechi 14 katika nafasi ya saba kwenye msimamo wa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA

TIMU ya Barcelona jana imechapwa 2-1 na wenyeji, Cadiz katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan. Mabao ya Cadiz yalifungwa na Alvaro Gimenez dakika ya nane na Alvaro Negredo dakika ya 63, wakati la Barcelona Alcala alijifunga dakika ya 57.
Kwa matokeo hayo, Cadiz wanafikisha pointi 18 baada ya kucheza mechi 12 na kupanda nafasi ya tano, wakizidiwa pointi mbili na Real Madrid na Villarreal zinazofuatana nafasi ya tatu na ya nne zikiwa zimecheza mechi 11.
Kikosi cha Ronald Koeman, Barcelona kinabaki na pointi zake 14 baada ya kucheza mechi 14 katika nafasi ya saba kwenye msimamo wa La Liga PICHA ZAIDI GONGA HAPA