Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB

ARSENAL jana imeitandika Rapid Wien 4-1 katika mchezowa Kundi B UEFA Europa League usiku Uwanja wa Emirates, London.
Mabao ya Arsenal inayofikisha pointi zake 15 na kuendelea kuongoza Kundi B kwa pointi sita zaidi ya Molde FC, mabao yake yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 10, Pablo MarĂ dakika ya 18, Eddie Nketiah dakika ya 44 na E. Smith Rowe 66, wakati la Rapid Wien lilifungwa na Koya Kitagawa dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mabao ya Arsenal inayofikisha pointi zake 15 na kuendelea kuongoza Kundi B kwa pointi sita zaidi ya Molde FC, mabao yake yalifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 10, Pablo MarĂ dakika ya 18, Eddie Nketiah dakika ya 44 na E. Smith Rowe 66, wakati la Rapid Wien lilifungwa na Koya Kitagawa dakika ya 47 PICHA ZAIDI GONGA HAPA