Na Clement Shari, ARUSHA
KLABU ya soka ya Polisi Tanzania yenye maskani yake mjini Moshi mkoani Kilimanjaro imetangaza kumsajili beki wa zamani wa klabu ya Yanga Kelvin Patrick Yondan katika dirisha hili dogo ambalo kwa sasa lipo wazi.
Msemaji wa Polisi Tanzania, Frank Lukwaro kwa njia ya ujumbe wa Sauti alioutuma kwa wanahabari amesema mchezaji huyo amepewa mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Polisi Tz.
Lukwaro amesema tayari mchezaji huyo amekwishakutua mjini Moshi kuanza majukumu kwenye timu yake mpya Mara baada ya kukaa nje ya dimba kwa nusu msimu.
Wiki iliyopita zilikuwepo tetesi za mchezaji huyo kusajiliwa na Polisi lakini uongozi wa timu hiyo haukuwa tayari kuweka mambo hadharani.
Lukwaro amesema klabu ya Polisi italitumia dirisha hili dogo kukiimarisha kikosi chake bila ya kutaja ni wachezaji gani wanaotaraji kuwasajili na nafasi zao za uwanjani.
Mpaka sasa klabu ya Polisi Tz ipo katika nafasi ya 6 ikiwa na alama 23 Mara baada ya kucheza michezo 17 ya Mzunguko wa kwanza.
KLABU ya soka ya Polisi Tanzania yenye maskani yake mjini Moshi mkoani Kilimanjaro imetangaza kumsajili beki wa zamani wa klabu ya Yanga Kelvin Patrick Yondan katika dirisha hili dogo ambalo kwa sasa lipo wazi.
Msemaji wa Polisi Tanzania, Frank Lukwaro kwa njia ya ujumbe wa Sauti alioutuma kwa wanahabari amesema mchezaji huyo amepewa mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia Polisi Tz.
Lukwaro amesema tayari mchezaji huyo amekwishakutua mjini Moshi kuanza majukumu kwenye timu yake mpya Mara baada ya kukaa nje ya dimba kwa nusu msimu.
Wiki iliyopita zilikuwepo tetesi za mchezaji huyo kusajiliwa na Polisi lakini uongozi wa timu hiyo haukuwa tayari kuweka mambo hadharani.
Lukwaro amesema klabu ya Polisi italitumia dirisha hili dogo kukiimarisha kikosi chake bila ya kutaja ni wachezaji gani wanaotaraji kuwasajili na nafasi zao za uwanjani.
Mpaka sasa klabu ya Polisi Tz ipo katika nafasi ya 6 ikiwa na alama 23 Mara baada ya kucheza michezo 17 ya Mzunguko wa kwanza.
Je wajua!!!???
Kiwangadoctors ni madaktari ambao wanasifika East Africa na Africa kwa ujumla,Kiwangadoctors wanatatua shida mbalimbali za maisha kama,kurudisha mpenzi,kupandishwa cheo,kupata kazi,kupata mimba kwa wale waliokosa,Nguvu za kiume na kushinda michezo ya Batinasibu pia kiwanga Doctors wanatibu mgonjwa sugu kama,Sukari ,Pressure pamoja na stroke.Wasiliana na kiwanga Doctors kwa number/WhatsApp +254769404965 Au kwa barua pepe kiwangadoctors@gmail.com. taarifa zaidi click 👉👉👇👇👇https://www.kiwangadoctors.com
kwa taarifa zaidi.
No comments:
Post a Comment