Harmonize ameongeza kuwa “South Afrika ni masaa matatu tu kutoka Tanzania lakini niamini mimi nenda halafu nakupa mwezi mmoja uzunguke clubs zote, ukisikia muziki wa Tanzania unapigwa njoo ntakupa mil 5 konde gang HQ, hebu turudi shule kwanza naamini muda bado tunao”
Home
Udaku
Harmonize: Nenda Afrika Kusini ukisikia ngoma yoyote ya Tanzania inapigwa njoo ntakupa mil 5
Click to comment
Subscribe to:
Post Comments (Atom)