Pakua App ya 'EDUSPORTSTZ NEWS' Uweze kufurahia Habari zote za Mapenzi; Udaku, Ajira na Michezo kila siku Ipo Google Playstore, Kwa Ku BONYEZA INSTALL Ili KUIDOWNLOAD Kwenye Simu yako nakutasoma habari zote hata kama hauna MB
Mshambuliaji Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika za 45 na 90 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Huesca kwenye mnchezo wa LaLiga jana Uwanja wa Alfredo Di Stéfano, Jijini Madrid. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Eden Hazard dakika ya 40 na Federico Valverde dakika ya 54, wakati bao pekee la Huesca lilifungwa na David Ferreiro dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mshambuliaji Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika za 45 na 90 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Huesca kwenye mnchezo wa LaLiga jana Uwanja wa Alfredo Di Stéfano, Jijini Madrid. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Eden Hazard dakika ya 40 na Federico Valverde dakika ya 54, wakati bao pekee la Huesca lilifungwa na David Ferreiro dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA