Wasanii Matajiri Duniani - EDUSPORTSTZ

Latest

Wasanii Matajiri Duniani

Wasanii  Matajiri Duniani
Wasanii  Matajiri Duniani

Orodha ya  wasanii matajiri duniani inaendelea kubadilika kila mwaka.

Mamilioni ya watu yamzeidi kustaajabu kwa namna jinsi ya wasanii wa Hollywood na Broadway wanavyozidi kuwa kwenye orodha ya wasanii majatajiri duniani.

 Watu wengi ujiuliza ni msanii wapi waliokatika orodha hiyo: je msanii wako pendwa yupo katika orodha hiyo!? Hebu tuweke wazi kwa sasa.

Endelea kusoma ili kujua majina ya wasanii nyota duniani ambao wameweza kuingia kwenye orodha ya wasanii 10 tajiri duniani.

Mariah Carey
10. Mariah Carey: $ 510
Mamilioni ya mashabiki  Mariah Carey wanatambua kazi ya mwanadada huyu anayezidi kutamba katika orodha wasanii tajiri duniani. Ukiachana na kazi ya muziki mariah anamiliki perfume yake inayonuliwa na mamilioni ya watu duniani.

Jay-Z:
9. Jay-Z: $ 810 Milioni
Utajiri wa mwanamuziki Jay Z ulipanda kwa asilimia 30 mwaka jana na kufikisha utajiri wake hadi $810m (£626m), kwa mujibu wa jarida la Forbes.Lakini. Zaidi ya hayo, nembo yake ya biashara Rocawear na ndoa na Beyonce imemfanya kuwa tajiri sana.

Bono
8. Bono: $ milioni 600
 Huyu pia nimoja ya wasanii wanao miliki mkwanja mrefu duniani. Anamiliki utajiri wa zaidi ya dola  milioni 60. 
Msaini huyu ametamba kutokana brand yake ya U2  aliyokuwa maarufu na  kumpatia  faida kubwa. Pia amewekeza katika umiliki wa 5 star hoteli.

Celine Dion
7. Celine Dion: $ milioni 630
Kila mtu bila alitarajia kuona star huyu kuwa  katika jarida maarufu la Forbes juu ya wasanii matajiri duniani. 
Kibao chake kunachojulikana kwa jija "My Heart Will Go On" kinasemekana kuwa moja ya chanzo cha utajiri wake. 
Licha ya kutabiliwa kuporomoka katika orodha ya wasanii  matajiri  mwanadada huyo ameendelea kuwemo katika listi ya wasanii 10 matajiri duniani.

Diddy
Diddy: $750m (£579m).
Forbes waliandaa orodha yao wakizingatia mapato ya miaka ya nyuma pamoja na stakabadhi za kifedha, thamani ya mali inayomilikiwa na wanamuziki hao na pia kwa kuzungumza na wachanganuzi, mawakili, mameneja na wataalamu wengine katika tasnia ya muziki.

Dr.Dre:
5. Dr.Dre: $ 780 milioni
Msanii na rapa wa zamani wa NWA Dr Dre kwa sasa ana utajiri wa $780m baada ya kuuza Beats kwa Apple mwaka 2014 kwa $3bn (£2.3bn).

Baada ya kuuza Beats, alinunua jumba kubwa la kifahari Los Angeles la ukubwa wa futi 14,000 mraba kwa $40m (£31m).

Rapa ambaye pia ni mmiliki mwenza wa Cash Money Records Bryan "Birdman" Williams ana utajiri wa $110m (£85m
Headphones zake Beats By Dre zinasemekana kuwa moja ya bidhaa zake zinazozidi kumuweka juu.


Madonna
4. Madonna: $ milioni 800 
Madonna hawezi kuitwa Madonna kama yeye haijawahi kuingia katika orodha ya wasanii  tajiri duniani.Madona ni staa wa pop wa kwanza wa kike duniani kuwa bilionea. Madona katika safari yake ya maisha amewahi kuajiriwa katika mugahawa wa chakula.

Herb Alpert
3. Herb Alpert: $ 900 milioni
Herbert Alpert alizaliwa 31st March 1935, ni raia wa USA.Anaeleza kuwa alianza kujishughulisha na muziki akiwa na miaka 8.

Anautajiri wa Dollar Million 900 ambazo ni sawa na Tsh Trillion 2 na billion 7 na million 240.


Si kingine bali ni kipaji tu ndio kimemuweka hapo alipo.

Paul McCartney
2. Paul McCartney: $ bilioni 1.1
Paul McCartney ni msanii mwenye utajiri wa dola bilioni 1.2. Inasemekana utajiri wake umetokana na mauzo ya mashairi na tungo za mziki kwa wasinii wengine.

Andrew Lloyd Webber
1. Andrew Lloyd Webber: $ bilioni 1.2 
Huyu ndiye msanii anayemiliki mkwanja mrefu zaidi duniani kutokan a na kazi ya sanaa ya mziki. Utajiri wake umetokana na live show ambazo Zimemfanya kufahamika ulimwenguni.

 Kipaji na jitihada binafsi ni moja ya vigezo vilivyowafanya wasinii hawa kuwa kumiliki mkwanja mrefu na kuendelea kupendwa zaidi duniani.


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

1 comment:

Edusportstz