WARAKA WA MBOWE WAIBUA MAZITO - EDUSPORTSTZ

Latest

WARAKA WA MBOWE WAIBUA MAZITO


Viongozi Waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)

Leo Machi 22, 2018, viongozi Waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wametakiwa kuripoti tena katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam ambapo kwa muda wa wiki tano sasa wametakiwa kuripoti kituoni hapo kila wiki tangu kumalizika kwa uchaguzi mdogo wa majimbo ya Kinondoni na Siha.
Mbowe amesema kuna njama za kuwahusisha na tuhuma mbalimbali.



EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz