NCHEMBA AWAFUNDA WANAFUNZI WANAOJIHUSISHA NA SIASA VYUONI - EDUSPORTSTZ

Latest

NCHEMBA AWAFUNDA WANAFUNZI WANAOJIHUSISHA NA SIASA VYUONI


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Mwigulu Nchemba




Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Mwigulu Nchemba March 16, 2018 amewataka wanafunzi kuachana na harakati za kutengeneza taswira mbaya juu ya serikali badala yake kuwa na mitazamo chanya.

Ameyasema hayo katika kongamano la UNILIFE lililofanyika Chuo cha Biashara (CBE), ambalo liliandaliwa na Mbunge wa Viti Maalum, Ester Mmasi.

Amesema wanafunzi hawatakiwi kufanya harakati ili wawe adui wa serikali kwani serikali yenyewe haina muda wa kushughulikia mashinikizo ya wanafunzi.

“Nilishawahi kufanya harakati nikiwa chuoni na nilipewa jina la Chifu, majina yangu yamekuja kujulikana nikiwa serikalini lakini nilikuwa napinga baadhi ya ajenda za Taifa ambazo niliona hazina manufaa,” – Dk Mwigulu Mchemba.

EDUSPORTSTZ inakutakia maandalizi mema ya siku. inakuomba kulike facebook page yetu au kufollow kupitia blog eneo la follow by email ili kutumiwa habari kwa wakati.
Enter your email address:


Delivered by EDUSPORTSTZ
Subscribe to EDUSPORTSTZ


Download our APP from Google Playstore using the link here>>>

Join Our Telegram Channel for Daily Updates CLICK HERE

No comments:

Post a Comment

Edusportstz